1Lile simulizi la kwanza, ewe Theofilo, niliandika kuhusu mambo yote ambayo Yesu alianza kufanya na kufundisha+2 mpaka siku aliyochukuliwa kwenda juu,+ baada ya kuwapa mitume aliowachagua maagizo kupitia roho takatifu.+
16 Kwa kweli, siri takatifu ya huu ujitoaji-kimungu* ni kubwa: ‘Alifunuliwa katika mwili,+ alitangazwa kuwa mwadilifu katika roho,+ aliwatokea malaika,+ alihubiriwa kati ya mataifa,+ watu walimwamini ulimwenguni,+ akapokewa mbinguni kwa utukufu.’