-
Mathayo 9:32-34Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
32 Walipokuwa wakiondoka, tazama! watu wakamletea bubu aliyekuwa na roho mwovu;+ 33 baada ya yule roho mwovu kufukuzwa, yule bubu akaongea.+ Basi, umati ukashangaa na kusema: “Jambo kama hili halijawahi kuonekana katika Israeli.”+ 34 Lakini Mafarisayo walikuwa wakisema: “Anawafukuza roho waovu kwa nguvu za mtawala wa roho waovu.”+
-