Mathayo 12:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu kwa kumwambia: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”+ Marko 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Akiwa huko Mafarisayo wakaja na kuanza kubishana naye, wakimtaka afanye ishara kutoka mbinguni, ili wamjaribu.+
38 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu kwa kumwambia: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”+
11 Akiwa huko Mafarisayo wakaja na kuanza kubishana naye, wakimtaka afanye ishara kutoka mbinguni, ili wamjaribu.+