26 Basi msiwaogope, kwa maana hakuna jambo lolote lililofunikwa ambalo halitafunuliwa, na hakuna siri yoyote ambayo haitafichuliwa.+27 Jambo ninalowaambia gizani, lisemeni nuruni, na jambo mnalosikia likinong’onwa, lihubirini juu ya paa za nyumba.+
17 Kwa maana hakuna jambo lolote lililofichwa ambalo halitafunuliwa, wala jambo lolote lililofunikwa kwa uangalifu ambalo halitajulikana na kuwa wazi.+