Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini yule atakayevumilia* mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+

  • Waroma 5:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Si hilo tu, bali na tushangilie* tukiwa katika dhiki,+ kwa kuwa tunajua kwamba dhiki hutokeza uvumilivu;+ 4 nao uvumilivu, hali yenye kukubaliwa;+ nayo hali yenye kukubaliwa, tumaini,+

  • Waebrania 10:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa kuwa mnahitaji uvumilivu,+ ili baada ya kufanya mapenzi ya Mungu, mpokee utimizo wa ile ahadi.

  • 2 Petro 1:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa sababu hii, jitahidini kabisa+ kuongeza kwenye imani yenu wema wa adili,+ kwenye wema wenu wa adili ujuzi,+ 6 kwenye ujuzi wenu kujizuia,* kwenye kujizuia*+ kwenu uvumilivu, kwenye uvumilivu wenu ujitoaji-kimungu,*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki