3 Si hilo tu, bali na tushangilie* tukiwa katika dhiki,+ kwa kuwa tunajua kwamba dhiki hutokeza uvumilivu;+4 nao uvumilivu, hali yenye kukubaliwa;+ nayo hali yenye kukubaliwa, tumaini,+
5 Kwa sababu hii, jitahidini kabisa+ kuongeza kwenye imani yenu wema wa adili,+ kwenye wema wenu wa adili ujuzi,+6 kwenye ujuzi wenu kujizuia,* kwenye kujizuia*+ kwenu uvumilivu, kwenye uvumilivu wenu ujitoaji-kimungu,*+