Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Siku hiyo itakuwa ukumbusho kwenu, nanyi mnapaswa kuisherehekea ikiwa sherehe kwa Yehova katika vizazi vyenu vyote. Kwa kuwa ni sheria ya kudumu, mnapaswa kuisherehekea.

  • Kutoka 12:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Katika mwezi wa kwanza, siku ya 14 ya mwezi huo, jioni, mnapaswa kula mikate isiyo na chachu mpaka siku ya 21 ya mwezi huo, jioni.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Adhimisheni mwezi wa Abibu* na msherehekee Pasaka ya Yehova Mungu wenu,+ kwa sababu katika mwezi wa Abibu, Yehova Mungu wenu aliwatoa nchini Misri wakati wa usiku.+ 2 Nanyi mnapaswa kumtolea Yehova Mungu wenu dhabihu ya Pasaka+ kutoka katika kondoo wenu na ng’ombe wenu,+ mahali ambapo Yehova atachagua jina lake likae hapo.+

  • Mathayo 26:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Siku ya kwanza ya Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu+ wanafunzi wakaja kumuuliza Yesu: “Unataka tukutayarishie wapi mlo wa Pasaka?”+

  • Marko 14:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sasa siku ya kwanza ya Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu,+ wakati ambapo walikuwa na desturi ya kutoa dhabihu ya Pasaka,+ wanafunzi wake wakamwuliza: “Unataka twende tukutayarishie wapi mlo wa Pasaka?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki