Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Siku hiyo itakuwa ukumbusho kwenu, nanyi mnapaswa kuisherehekea ikiwa sherehe kwa Yehova katika vizazi vyenu vyote. Kwa kuwa ni sheria ya kudumu, mnapaswa kuisherehekea.

  • Kumbukumbu la Torati 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Adhimisheni mwezi wa Abibu* na msherehekee Pasaka ya Yehova Mungu wenu,+ kwa sababu katika mwezi wa Abibu, Yehova Mungu wenu aliwatoa nchini Misri wakati wa usiku.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Mara tatu kwa mwaka, wanaume wenu wote wanapaswa kwenda mbele za Yehova Mungu wenu mahali atakapochagua: katika Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu,+ Sherehe ya Majuma,+ na Sherehe ya Vibanda,*+ na hakuna yeyote kati yao anayepaswa kwenda mbele za Yehova mikono mitupu.

  • Yohana 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Pasaka+ ya Wayahudi ilikuwa imekaribia, basi Yesu akapanda kwenda Yerusalemu.

  • Yohana 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sasa Pasaka,+ ile Sherehe ya Wayahudi, ilikuwa imekaribia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki