Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Alipokaribia lango la jiji, tazama! kulikuwa na watu waliokuwa wamebeba maiti wakiipeleka nje, yule aliyekufa alikuwa mwana pekee,* na mama yake+ alikuwa mjane. Watu wengi kutoka jijini walikuwa pamoja na yule mwanamke.

  • Luka 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Akakaribia na kuligusa jeneza,* nao wale waliolibeba wakasimama. Akasema: “Kijana, ninakuambia, inuka!”+

  • Luka 8:52-54
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Lakini watu wote walikuwa wakilia na kujipigapiga kwa huzuni kwa sababu ya yule msichana. Basi akawaambia: “Acheni kulia,+ kwa maana hajafa bali amelala usingizi.”+ 53 Ndipo wakaanza kumcheka kwa dharau, kwa sababu walijua amekufa. 54 Lakini akamshika mkono na kumwita: “Mtoto, inuka!”+

  • Yohana 11:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye ufufuo na uzima.+ Yule anayeniamini, hata akifa, ataishi tena;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki