52 Lakini watu wote walikuwa wakilia na kujipigapiga kwa huzuni kwa sababu ya yule msichana. Basi akawaambia: “Acheni kulia,+ kwa maana hajafa bali amelala usingizi.”+ 53 Ndipo wakaanza kumcheka kwa dharau, kwa sababu walijua amekufa. 54 Lakini akamshika mkono na kumwita: “Mtoto, inuka!”+