Yohana 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 (Yohana alitoa ushahidi kumhusu, ndiyo, alisema kwa sauti kubwa: “Huyu ndiye niliyesema kumhusu, ‘Yule anayekuja nyuma yangu amenitangulia, kwa maana alikuwapo kabla yangu.’”)+ Yohana 1:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Yohana pia alitoa ushahidi akisema: “Niliona roho ikishuka kama njiwa kutoka mbinguni, nayo ikakaa juu yake.+
15 (Yohana alitoa ushahidi kumhusu, ndiyo, alisema kwa sauti kubwa: “Huyu ndiye niliyesema kumhusu, ‘Yule anayekuja nyuma yangu amenitangulia, kwa maana alikuwapo kabla yangu.’”)+
32 Yohana pia alitoa ushahidi akisema: “Niliona roho ikishuka kama njiwa kutoka mbinguni, nayo ikakaa juu yake.+