Yohana 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini Yesu akamjibu: “Mwanamke, jambo hilo linatuhusuje mimi na wewe?* Bado saa yangu haijafika.” Yohana 7:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Basi wakaanza kutafuta njia ya kumkamata,+ lakini hakuna aliyeweza kumkamata, kwa sababu saa yake haikuwa imefika.+
30 Basi wakaanza kutafuta njia ya kumkamata,+ lakini hakuna aliyeweza kumkamata, kwa sababu saa yake haikuwa imefika.+