54 Baada ya kuingia katika eneo lake la nyumbani,+ akaanza kuwafundisha katika sinagogi lao, hivi kwamba wakashangaa na kuuliza: “Mtu huyu alipata wapi hekima hii na matendo haya yenye nguvu?+
2 Ilipofika siku ya Sabato, akaanza kufundisha katika sinagogi, na wengi waliomsikiliza wakashangaa na kusema: “Mtu huyu alitoa wapi mambo haya?+ Kwa nini alipewa hekima hii, na kwa nini matendo haya yenye nguvu yafanywe kupitia mikono yake?+
46 Baada ya siku tatu wakampata hekaluni akiwa ameketi katikati ya walimu akiwasikiliza na kuwauliza maswali. 47 Lakini wote waliomsikiliza walikuwa wakishangazwa na majibu yake na uwezo wake wa kuelewa.+
13 Walipoona Petro na Yohana wakizungumza kwa ujasiri, ingawa walikuwa watu wasio na elimu* na wa kawaida tu,+ wakashangaa. Nao wakatambua kwamba walikuwa pamoja na Yesu.+