Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 13:54
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 54 Baada ya kuingia katika eneo lake la nyumbani,+ akaanza kuwafundisha katika sinagogi lao, hivi kwamba wakashangaa na kuuliza: “Mtu huyu alipata wapi hekima hii na matendo haya yenye nguvu?+

  • Marko 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ilipofika siku ya Sabato, akaanza kufundisha katika sinagogi, na wengi waliomsikiliza wakashangaa na kusema: “Mtu huyu alitoa wapi mambo haya?+ Kwa nini alipewa hekima hii, na kwa nini matendo haya yenye nguvu yafanywe kupitia mikono yake?+

  • Luka 2:46, 47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Baada ya siku tatu wakampata hekaluni akiwa ameketi katikati ya walimu akiwasikiliza na kuwauliza maswali. 47 Lakini wote waliomsikiliza walikuwa wakishangazwa na majibu yake na uwezo wake wa kuelewa.+

  • Matendo 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Walipoona Petro na Yohana wakizungumza kwa ujasiri, ingawa walikuwa watu wasio na elimu* na wa kawaida tu,+ wakashangaa. Nao wakatambua kwamba walikuwa pamoja na Yesu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki