Mathayo 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Walipokuwa wakila, akasema: “Kwa kweli ninawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”+ Marko 14:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Walipokuwa wameketi mezani wakila, Yesu akasema: “Kwa kweli ninawaambia, mmoja wenu anayekula pamoja nami atanisaliti.”+ Luka 22:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Lakini tazameni! mkono wa msaliti wangu uko pamoja nami mezani.+ Yohana 6:70 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 70 Yesu akawaambia: “Niliwachagua ninyi 12, sivyo?+ Lakini mmoja wenu ni mchongezi.”*+
18 Walipokuwa wameketi mezani wakila, Yesu akasema: “Kwa kweli ninawaambia, mmoja wenu anayekula pamoja nami atanisaliti.”+