Mathayo 11:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nawe Kapernaumu,+ je, utainuliwa mpaka mbinguni? Utashuka mpaka Kaburini;*+ kwa sababu kama matendo yenye nguvu yaliyofanywa ndani yako yangefanywa huko Sodoma, jiji hilo lingekuwepo mpaka leo hii. Yohana 7:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Hata hivyo, wengi katika umati walimwamini,+ nao wakaanza kusema: “Kristo atakapokuja, je, atafanya ishara nyingi kuliko alizofanya mtu huyu?” Yohana 11:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Basi wakuu wa makuhani na Mafarisayo wakakusanya Sanhedrini na kusema: “Tutafanya nini, kwa kuwa mtu huyu anafanya ishara nyingi?+
23 Nawe Kapernaumu,+ je, utainuliwa mpaka mbinguni? Utashuka mpaka Kaburini;*+ kwa sababu kama matendo yenye nguvu yaliyofanywa ndani yako yangefanywa huko Sodoma, jiji hilo lingekuwepo mpaka leo hii.
31 Hata hivyo, wengi katika umati walimwamini,+ nao wakaanza kusema: “Kristo atakapokuja, je, atafanya ishara nyingi kuliko alizofanya mtu huyu?”
47 Basi wakuu wa makuhani na Mafarisayo wakakusanya Sanhedrini na kusema: “Tutafanya nini, kwa kuwa mtu huyu anafanya ishara nyingi?+