-
Zaburi 69:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Wale wanaotaka kuniangamiza,
Maadui wangu wenye hila,* wamekuwa wengi.
Nililazimishwa kurudisha kitu ambacho sikuiba.
-
-
Luka 23:22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
22 Akawaambia mara ya tatu: “Kwa nini? Amefanya kosa gani? Mimi sikuona jambo lolote linalofanya astahili kifo; kwa hiyo nitamwadhibu kisha nimfungue.”
-