Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 35:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Usiruhusu wale ambao ni maadui wangu bila sababu wanicheke;

      Usiruhusu wale wanaonichukia bila sababu+ wakonyeze macho yao kwa hila.+

  • Zaburi 69:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wale wanaonichukia bila sababu+

      Ni wengi sana kuliko nywele za kichwa changu.

      Wale wanaotaka kuniangamiza,

      Maadui wangu wenye hila,* wamekuwa wengi.

      Nililazimishwa kurudisha kitu ambacho sikuiba.

  • Luka 23:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Akawaambia mara ya tatu: “Kwa nini? Amefanya kosa gani? Mimi sikuona jambo lolote linalofanya astahili kifo; kwa hiyo nitamwadhibu kisha nimfungue.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki