Yohana 7:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kisha Yesu akasema: “Nitakuwa pamoja nanyi kwa muda mfupi kisha nitarudi kwa Yule aliyenituma.+ Yohana 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi, Yesu akijua kwamba Baba alikuwa ameviweka vitu vyote mikononi mwake na kwamba alikuja kutoka kwa Mungu na alikuwa akienda kwa Mungu,+
3 Basi, Yesu akijua kwamba Baba alikuwa ameviweka vitu vyote mikononi mwake na kwamba alikuja kutoka kwa Mungu na alikuwa akienda kwa Mungu,+