Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 28:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi, wakaondoka upesi kwenye kaburi la ukumbusho wakiwa na hofu na shangwe kubwa. Wakakimbia kwenda kuwajulisha wanafunzi wake.+

  • Luka 24:39-41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Angalieni mikono na miguu yangu, kwamba ni mimi; niguseni mwone, kwa maana roho haina nyama na mifupa kama vile mnavyoona nilivyo.” 40 Alipokuwa akisema hayo, akawaonyesha mikono yake na miguu yake. 41 Wakiwa bado hawaamini kwa sababu ya shangwe nyingi na mshangao, akawauliza: “Mna chakula chochote hapa?”

  • Yohana 20:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ilipofika jioni siku hiyo, siku ya kwanza ya juma, milango ikiwa imefungwa mahali ambapo wanafunzi walikuwa kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi, Yesu akaja na kusimama katikati yao na kuwaambia: “Na muwe na amani.”+ 20 Baada ya kusema hayo, akawaonyesha mikono yake na ubavu wake.+ Basi wanafunzi wakashangilia walipomwona Bwana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki