Zekaria 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Ee upanga, amka umshambulie mchungaji wangu,+Mshambulie rafiki yangu,” asema Yehova wa majeshi. “Mpige mchungaji,+ acha kondoo watawanyike;*+Nami nitaugeuza mkono wangu dhidi ya watu wa hali ya chini.” Mathayo 26:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ndipo Yesu akawaambia: “Ninyi nyote mtakwazika kuhusiana nami usiku wa leo, kwa maana imeandikwa: ‘Nitampiga mchungaji, nao kondoo wa kundi watatawanyika.’+ Marko 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yesu akawaambia: “Ninyi nyote mtakwazika, kwa maana imeandikwa: ‘Nitampiga mchungaji,+ nao kondoo watatawanyika.’+
7 “Ee upanga, amka umshambulie mchungaji wangu,+Mshambulie rafiki yangu,” asema Yehova wa majeshi. “Mpige mchungaji,+ acha kondoo watawanyike;*+Nami nitaugeuza mkono wangu dhidi ya watu wa hali ya chini.”
31 Ndipo Yesu akawaambia: “Ninyi nyote mtakwazika kuhusiana nami usiku wa leo, kwa maana imeandikwa: ‘Nitampiga mchungaji, nao kondoo wa kundi watatawanyika.’+
27 Yesu akawaambia: “Ninyi nyote mtakwazika, kwa maana imeandikwa: ‘Nitampiga mchungaji,+ nao kondoo watatawanyika.’+