Zaburi 22:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu;+Katikati ya kutaniko nitakusifu.+ Matendo 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Simioni+ amesimulia kikamili jinsi Mungu kwa mara ya kwanza alivyoelekeza uangalifu wake kwa mataifa ili achukue kutoka kwao watu kwa ajili ya jina lake.+ Waebrania 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kama anavyosema: “Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kutaniko nitakusifu kwa wimbo.”+
14 Simioni+ amesimulia kikamili jinsi Mungu kwa mara ya kwanza alivyoelekeza uangalifu wake kwa mataifa ili achukue kutoka kwao watu kwa ajili ya jina lake.+
12 kama anavyosema: “Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kutaniko nitakusifu kwa wimbo.”+