Zaburi 41:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hata mtu niliyekuwa na amani naye, ambaye nilimwamini,+Aliyekuwa akila mkate wangu, amekiinua kisigino chake dhidi yangu.*+ Zaburi 109:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Siku zake na ziwe chache;+Mtu mwingine na achukue cheo chake cha uangalizi.+ Matendo 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana imeandikwa katika kitabu cha Zaburi, ‘Makao yake yabaki ukiwa, na pasiwe na mkaaji yeyote humo,’+ na, ‘Mtu mwingine na achukue cheo chake cha uangalizi.’+
9 Hata mtu niliyekuwa na amani naye, ambaye nilimwamini,+Aliyekuwa akila mkate wangu, amekiinua kisigino chake dhidi yangu.*+
20 Kwa maana imeandikwa katika kitabu cha Zaburi, ‘Makao yake yabaki ukiwa, na pasiwe na mkaaji yeyote humo,’+ na, ‘Mtu mwingine na achukue cheo chake cha uangalizi.’+