Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Saa hiyo, Yesu akauambia umati: “Je, mmekuja kunikamata mkiwa na mapanga na marungu kana kwamba mimi ni mwizi? Siku baada ya siku nilikuwa nikiketi hekaluni nikifundisha+ lakini hamkunikamata.+

  • Luka 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Pia, akaanza kufundisha katika masinagogi yao, naye akaheshimiwa na watu wote.

  • Luka 19:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Akaendelea kufundisha kila siku hekaluni. Lakini wakuu wa makuhani, waandishi na viongozi wa watu walikuwa wakitaka kumuua;+

  • Yohana 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Sherehe ilipofika katikati, Yesu akapanda kuingia hekaluni na kuanza kufundisha.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki