Mathayo 27:32, 33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Walipokuwa wakitoka wakakutana na mwanamume kutoka Kirene aitwaye Simoni. Wakamlazimisha aubebe mti wa mateso*+ wa Yesu. 33 Na walipofika mahali panapoitwa Golgotha, yaani, Mahali pa Fuvu la Kichwa,+ Marko 15:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi wakampeleka mahali panapoitwa Golgotha, neno ambalo linapotafsiriwa linamaanisha, “Mahali pa Fuvu la Kichwa.”+
32 Walipokuwa wakitoka wakakutana na mwanamume kutoka Kirene aitwaye Simoni. Wakamlazimisha aubebe mti wa mateso*+ wa Yesu. 33 Na walipofika mahali panapoitwa Golgotha, yaani, Mahali pa Fuvu la Kichwa,+
22 Basi wakampeleka mahali panapoitwa Golgotha, neno ambalo linapotafsiriwa linamaanisha, “Mahali pa Fuvu la Kichwa.”+