Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 27:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Baada ya kumtundika kwenye mti, wakagawana mavazi yake ya nje kwa kupiga kura,+

  • Marko 15:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nao wakamtundika kwenye mti na wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura ili kuamua ni nini ambacho kila mtu angechukua.+

  • Luka 23:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Lakini Yesu alikuwa akisema: “Baba, wasamehe, kwa maana hawajui wanachofanya.” Isitoshe, wakapiga kura ili wagawane mavazi yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki