Zaburi 69:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini walinipa sumu* kuwa chakula,+Na wakanipa siki ninywe ili nikate kiu.+ Mathayo 27:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Mara moja, mmoja wao akakimbia, akachukua sifongo akailowesha katika divai kali akaiweka kwenye utete akampa anywe.+ Marko 15:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kisha mtu fulani akakimbia, akalowesha sifongo katika divai kali, akaiweka kwenye utete, akampa anywe,+ akisema: “Mwacheni! Acheni tuone kama Eliya atakuja kumshusha.” Luka 23:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Hata wale wanajeshi wakamdhihaki, wakamkaribia na kumpa divai kali+
48 Mara moja, mmoja wao akakimbia, akachukua sifongo akailowesha katika divai kali akaiweka kwenye utete akampa anywe.+
36 Kisha mtu fulani akakimbia, akalowesha sifongo katika divai kali, akaiweka kwenye utete, akampa anywe,+ akisema: “Mwacheni! Acheni tuone kama Eliya atakuja kumshusha.”