Yohana 13:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mmoja wa wanafunzi ambaye Yesu alimpenda,+ alikuwa ameketi mezani karibu na* Yesu. Yohana 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Basi, Yesu alipomwona mama yake na mwanafunzi ambaye alimpenda+ wamesimama karibu, akamwambia mama yake: “Mwanamke, ona! Mwanao!” Yohana 21:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Huyo ndiye mwanafunzi+ anayetoa ushahidi huu kuhusu mambo haya, na ambaye aliyaandika mambo haya, nasi tunajua kwamba ushahidi wake ni wa kweli.
26 Basi, Yesu alipomwona mama yake na mwanafunzi ambaye alimpenda+ wamesimama karibu, akamwambia mama yake: “Mwanamke, ona! Mwanao!”
24 Huyo ndiye mwanafunzi+ anayetoa ushahidi huu kuhusu mambo haya, na ambaye aliyaandika mambo haya, nasi tunajua kwamba ushahidi wake ni wa kweli.