41 Ilitukia kwamba kulikuwa na bustani mahali alipouawa, na katika bustani hiyo kulikuwa na kaburi+ jipya ambamo hakuna mtu alikuwa amewahi kulazwa. 42 Kwa sababu ilikuwa siku ya Matayarisho+ ya Wayahudi na kaburi lilikuwa hapo karibu, wakamlaza Yesu humo.