Luka 24:15, 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Sasa walipokuwa wakiongea na kujadiliana kuhusu mambo hayo, Yesu akakaribia na kuanza kutembea pamoja nao, 16 lakini macho yao yalizuiwa wasiweze kumtambua.+ Luka 24:30, 31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Naye alipokuwa akila* pamoja nao akauchukua mkate, akaubariki, akaumega na kuanza kuwapa.+ 31 Ndipo macho yao yakafunguliwa kikamili nao wakamtambua; lakini akatoweka.+ Yohana 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata hivyo, kulipoanza kupambazuka, Yesu alisimama kando ya bahari, lakini wanafunzi hawakutambua ni Yesu.+
15 Sasa walipokuwa wakiongea na kujadiliana kuhusu mambo hayo, Yesu akakaribia na kuanza kutembea pamoja nao, 16 lakini macho yao yalizuiwa wasiweze kumtambua.+
30 Naye alipokuwa akila* pamoja nao akauchukua mkate, akaubariki, akaumega na kuanza kuwapa.+ 31 Ndipo macho yao yakafunguliwa kikamili nao wakamtambua; lakini akatoweka.+
4 Hata hivyo, kulipoanza kupambazuka, Yesu alisimama kando ya bahari, lakini wanafunzi hawakutambua ni Yesu.+