Yohana 3:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Yule anayemwamini Mwana ana uzima wa milele;+ yule asiyemtii Mwana hataona uzima,+ bali ghadhabu ya Mungu hukaa juu yake.+ Yohana 20:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Lakini mambo haya yameandikwa ili mwamini kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu, na kwa sababu ya kuamini, mpate uzima kupitia jina lake.+
36 Yule anayemwamini Mwana ana uzima wa milele;+ yule asiyemtii Mwana hataona uzima,+ bali ghadhabu ya Mungu hukaa juu yake.+
31 Lakini mambo haya yameandikwa ili mwamini kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu, na kwa sababu ya kuamini, mpate uzima kupitia jina lake.+