2 Samweli 23:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Haya ndiyo maneno ya mwisho ya Daudi:+ “Neno la Daudi mwana wa Yese,+Na neno la mwanamume aliyeinuliwa juu,+Mtiwa-mafuta+ wa Mungu wa Yakobo,Mwimbaji anayependeza* wa nyimbo+ za Israeli. 2 Roho ya Yehova ilisema kupitia mimi;+Neno lake lilikuwa kwenye ulimi wangu.+
23 Haya ndiyo maneno ya mwisho ya Daudi:+ “Neno la Daudi mwana wa Yese,+Na neno la mwanamume aliyeinuliwa juu,+Mtiwa-mafuta+ wa Mungu wa Yakobo,Mwimbaji anayependeza* wa nyimbo+ za Israeli. 2 Roho ya Yehova ilisema kupitia mimi;+Neno lake lilikuwa kwenye ulimi wangu.+