44 Kisha akawaambia: “Haya ndiyo maneno niliyowaambia nilipokuwa bado pamoja nanyi,+ kwamba mambo yote yaliyoandikwa kunihusu katika Sheria ya Musa, Manabii, na Zaburi lazima yatimizwe.”+
23 Mwanamume huyu, aliyekabidhiwa kupitia mapenzi yaliyoamuliwa* na ujuzi wa awali wa Mungu,+ mlimfunga kwenye mti kupitia mkono wa waasi sheria, nanyi mkamuua.+