Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini yalikuwa mapenzi ya Yehova* kumponda, naye aliruhusu awe mgonjwa.

      Ukitoa uhai wake* uwe dhabihu ya hatia,+

      Atauona uzao wake,* ataongeza siku zake,+

      Na kupitia kwake mapenzi* ya Yehova yatafanikiwa.+

  • Luka 24:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Kisha akawaambia: “Haya ndiyo maneno niliyowaambia nilipokuwa bado pamoja nanyi,+ kwamba mambo yote yaliyoandikwa kunihusu katika Sheria ya Musa, Manabii, na Zaburi lazima yatimizwe.”+

  • Matendo 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mwanamume huyu, aliyekabidhiwa kupitia mapenzi yaliyoamuliwa* na ujuzi wa awali wa Mungu,+ mlimfunga kwenye mti kupitia mkono wa waasi sheria, nanyi mkamuua.+

  • 1 Petro 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ni kweli, yeye alijulikana mapema kabla ya kuwekwa msingi wa ulimwengu,+ lakini alifunuliwa mwishoni mwa nyakati kwa ajili yenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki