21 Kwa hiyo inafaa kwamba mmoja wa wanaume walioandamana nasi wakati wote ambao Bwana Yesu alifanya kazi zake miongoni mwetu, 22 kuanzia alipobatizwa na Yohana+ mpaka siku alipochukuliwa kutoka kwetu kwenda juu,+ mmoja wa wanaume hao anapaswa kuwa shahidi pamoja nasi kuhusu ufufuo wake.”+