Matendo 5:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hata hivyo, mwanamume fulani aliyeitwa Anania, pamoja na Safira mke wake, waliuza mali. 2 Lakini akajiwekea kisiri kiasi fulani, mke wake pia akijua jambo hilo, naye akaleta sehemu fulani tu na kuiweka miguuni pa mitume.+
5 Hata hivyo, mwanamume fulani aliyeitwa Anania, pamoja na Safira mke wake, waliuza mali. 2 Lakini akajiwekea kisiri kiasi fulani, mke wake pia akijua jambo hilo, naye akaleta sehemu fulani tu na kuiweka miguuni pa mitume.+