16 Abrahamu akamsikiliza Efroni, na Abrahamu akampimia Efroni kiasi cha fedha alichokuwa amemtajia mbele ya wana wa Hethi, shekeli 400 za fedha* kulingana na uzito uliokubaliwa na wafanyabiashara.+
19 Pia Musa alibeba mifupa ya Yosefu, kwa sababu Yosefu alikuwa amewaapisha hivi wana wa Israeli: “Mungu hatakosa kamwe kuwakazia uangalifu, nanyi mnapaswa kuiondoa huku mifupa yangu na kwenda nayo.”+
32 Na mifupa ya Yosefu,+ ambayo Waisraeli walikuwa wameleta kutoka Misri, wakaizika huko Shekemu katika shamba ambalo Yakobo alinunua kwa vipande 100 vya fedha+ kutoka kwa wana wa Hamori,+ baba ya Shekemu; nalo likawa urithi wa wana wa Yosefu.+