Mathayo 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi akawaita wanafunzi wake 12 na kuwapa mamlaka ya kuwafukuza roho waovu+ na kuponya kila aina ya ugonjwa na kila aina ya udhaifu. Marko 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sasa akawaita wale 12 akaanza kuwatuma wawili wawili,+ naye akawapa mamlaka juu ya roho waovu.+
10 Basi akawaita wanafunzi wake 12 na kuwapa mamlaka ya kuwafukuza roho waovu+ na kuponya kila aina ya ugonjwa na kila aina ya udhaifu.