Matendo 10:25, 26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Petro alipokuwa akiingia, Kornelio akamlaki, akapiga magoti miguuni pake, na kumsujudia.* 26 Lakini Petro akamwinua, akisema: “Simama; mimi pia ni mwanadamu tu.”+
25 Petro alipokuwa akiingia, Kornelio akamlaki, akapiga magoti miguuni pake, na kumsujudia.* 26 Lakini Petro akamwinua, akisema: “Simama; mimi pia ni mwanadamu tu.”+