Zaburi 147:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yeye anayezifunika mbingu kwa mawingu,Yeye anayeiletea dunia mvua,+Yeye anayechipusha majani+ milimani. Yeremia 5:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nao hawasemi moyoni mwao: “Sasa na tumwogope Yehova Mungu wetu,Yule anayeleta mvua katika majira yake,Mvua ya vuli na mvua ya masika,Yule anayetulindia majuma yaliyowekwa ya mavuno.”+ Mathayo 5:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni,+ kwa kuwa yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, na hunyesha mvua juu ya waadilifu na wasio waadilifu.+
8 Yeye anayezifunika mbingu kwa mawingu,Yeye anayeiletea dunia mvua,+Yeye anayechipusha majani+ milimani.
24 Nao hawasemi moyoni mwao: “Sasa na tumwogope Yehova Mungu wetu,Yule anayeleta mvua katika majira yake,Mvua ya vuli na mvua ya masika,Yule anayetulindia majuma yaliyowekwa ya mavuno.”+
45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni,+ kwa kuwa yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, na hunyesha mvua juu ya waadilifu na wasio waadilifu.+