15 Lakini Bwana akamwambia: “Nenda! kwa sababu mtu huyu ni chombo nilichokichagua+ ili kupeleka jina langu kwa mataifa+ na pia kwa wafalme+ na wana wa Israeli. 16 Kwa maana nitamwonyesha waziwazi mateso mengi yatakayompata kwa sababu ya jina langu.”+