Matendo 5:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Lakini Farisayo mmoja aitwaye Gamalieli+ akasimama katika Sanhedrini; alikuwa mwalimu wa Sheria aliyeheshimiwa na watu wote, naye akaamuru watu hao watolewe nje kwa muda mfupi.
34 Lakini Farisayo mmoja aitwaye Gamalieli+ akasimama katika Sanhedrini; alikuwa mwalimu wa Sheria aliyeheshimiwa na watu wote, naye akaamuru watu hao watolewe nje kwa muda mfupi.