-
Matendo 9:17, 18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Basi Anania akaenda na kuingia katika ile nyumba, naye akaweka mikono yake juu ya Sauli na kusema: “Sauli, ndugu, Bwana Yesu aliyekutokea barabarani ulipokuwa ukija, amenituma ili uweze kuona tena na ujazwe roho takatifu.”+ 18 Papo hapo, vitu kama magamba vikaanguka kutoka katika macho yake, naye akaanza kuona tena. Kisha akasimama na kubatizwa,
-