Matendo 9:28, 29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi akakaa pamoja nao, akitembea kwa uhuru* huko Yerusalemu, akizungumza kwa ujasiri katika jina la Bwana. 29 Alikuwa akiongea na kubishana na Wayahudi waliozungumza Kigiriki, lakini hao walikuwa wakijaribu kumuua.+
28 Basi akakaa pamoja nao, akitembea kwa uhuru* huko Yerusalemu, akizungumza kwa ujasiri katika jina la Bwana. 29 Alikuwa akiongea na kubishana na Wayahudi waliozungumza Kigiriki, lakini hao walikuwa wakijaribu kumuua.+