15 Lakini Bwana akamwambia: “Nenda! kwa sababu mtu huyu ni chombo nilichokichagua+ ili kupeleka jina langu kwa mataifa+ na pia kwa wafalme+ na wana wa Israeli.
7 Badala yake, walipoona kwamba nilikuwa nimekabidhiwa habari njema kwa ajili ya wale wasiotahiriwa,+ kama vile Petro alivyokabidhiwa kwa ajili ya wale waliotahiriwa—