-
Matendo 16:37, 38Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
37 Lakini Paulo akawaambia: “Walitupiga viboko hadharani bila kutuhukumu,* ingawa sisi ni Waroma,+ na wakatutupa gerezani. Je, sasa wanatufukuza kwa siri? Hapana, haiwezekani! Acha waje watutoe nje wao wenyewe.” 38 Wale maofisa wa polisi wakawaeleza mahakimu wa raia maneno hayo. Nao wakaogopa waliposikia kwamba watu hao walikuwa Waroma.+
-