Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 16:37, 38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Lakini Paulo akawaambia: “Walitupiga viboko hadharani bila kutuhukumu,* ingawa sisi ni Waroma,+ na wakatutupa gerezani. Je, sasa wanatufukuza kwa siri? Hapana, haiwezekani! Acha waje watutoe nje wao wenyewe.” 38 Wale maofisa wa polisi wakawaeleza mahakimu wa raia maneno hayo. Nao wakaogopa waliposikia kwamba watu hao walikuwa Waroma.+

  • Matendo 23:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mwanamume huyu alikamatwa na Wayahudi nao walikuwa karibu kumuua, lakini nikaja haraka pamoja na wanajeshi wangu na kumwokoa,+ baada ya kujua kwamba ni Mroma.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki