23 Akawaita maofisa wawili wa jeshi na kuwaambia: “Wekeni tayari wanajeshi 200 waende moja kwa moja mpaka Kaisaria, pia wapanda farasi 70 na watu 200 wenye mikuki, saa tatu usiku. 24 Pia, andaeni farasi kwa ajili ya Paulo ili asafiri salama mpaka kwa gavana Feliksi.”