Yoeli 2:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha nitaimimina roho yangu+ juu ya kila aina ya mwili,Na wana wenu na mabinti wenu watatoa unabii,Na wanaume wenu wazee wataota ndoto,Na wanaume wenu vijana wataona maono.+ Mathayo 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mimi ninawabatiza kwa maji kwa sababu mmetubu,+ lakini yule anayekuja baada yangu ana nguvu kuliko mimi, nami sistahili kuvivua viatu vyake.+ Yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+ Marko 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Niliwabatiza ninyi kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa roho takatifu.”+
28 Kisha nitaimimina roho yangu+ juu ya kila aina ya mwili,Na wana wenu na mabinti wenu watatoa unabii,Na wanaume wenu wazee wataota ndoto,Na wanaume wenu vijana wataona maono.+
11 Mimi ninawabatiza kwa maji kwa sababu mmetubu,+ lakini yule anayekuja baada yangu ana nguvu kuliko mimi, nami sistahili kuvivua viatu vyake.+ Yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+