Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 28:17-19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Hata hivyo, baada ya siku tatu akawaita wanaume mashuhuri wa Wayahudi. Walipokuwa wamekusanyika, akawaambia: “Wanaume, akina ndugu, ingawa sikuwa nimefanya jambo lolote kinyume cha watu au desturi za mababu zetu,+ nilikabidhiwa nikiwa mfungwa kutoka Yerusalemu na kutiwa mikononi mwa Waroma.+ 18 Na baada ya kufanya uchunguzi,+ walitaka kuniacha huru, kwa maana hawakuwa na sababu yoyote ya kuniua.+ 19 Lakini Wayahudi walipopinga, nililazimika kukata rufaa kwa Kaisari,+ lakini si kwa sababu nilikuwa na shtaka lolote dhidi ya taifa langu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki