Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 18:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini Paulo alipokuwa karibu kuzungumza, Galio akawaambia Wayahudi: “Enyi Wayahudi, kama kweli lingekuwa kosa fulani au uhalifu mkubwa, ningekuwa na sababu ya kuwasikiliza kwa subira. 15 Lakini kama mnabishania maneno na majina na sheria yenu,+ amueni wenyewe. Mimi sitaki kuwa mwamuzi wa mambo hayo.”

  • Matendo 23:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Klaudio Lisia kwa Mtukufu, Gavana Feliksi: Salamu!

  • Matendo 23:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Nikatambua kwamba ameshtakiwa kuhusu maswali ya Sheria yao,+ lakini hajashtakiwa kwa jambo lolote linalostahili kifo au kufungwa gerezani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki