-
Matendo 18:14, 15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Lakini Paulo alipokuwa karibu kuzungumza, Galio akawaambia Wayahudi: “Enyi Wayahudi, kama kweli lingekuwa kosa fulani au uhalifu mkubwa, ningekuwa na sababu ya kuwasikiliza kwa subira. 15 Lakini kama mnabishania maneno na majina na sheria yenu,+ amueni wenyewe. Mimi sitaki kuwa mwamuzi wa mambo hayo.”
-
-
Matendo 23:26Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
26 “Klaudio Lisia kwa Mtukufu, Gavana Feliksi: Salamu!
-