Luka 24:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Naye akawafafanulia kuanzia Musa na Manabii wote,+ mambo yote ambayo Maandiko yalisema kumhusu. Luka 24:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Kisha akawaambia: “Haya ndiyo maneno niliyowaambia nilipokuwa bado pamoja nanyi,+ kwamba mambo yote yaliyoandikwa kunihusu katika Sheria ya Musa, Manabii, na Zaburi lazima yatimizwe.”+ Waroma 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini sasa uadilifu wa Mungu umefunuliwa bila sheria,+ kama inavyoshuhudiwa na Sheria na Manabii,+
44 Kisha akawaambia: “Haya ndiyo maneno niliyowaambia nilipokuwa bado pamoja nanyi,+ kwamba mambo yote yaliyoandikwa kunihusu katika Sheria ya Musa, Manabii, na Zaburi lazima yatimizwe.”+
21 Lakini sasa uadilifu wa Mungu umefunuliwa bila sheria,+ kama inavyoshuhudiwa na Sheria na Manabii,+