29 Basi jiji likajaa mvurugo na wote pamoja wakakimbia na kuingia katika ukumbi wa maonyesho, wakiwakokota Gayo na Aristarko,+ Wamakedonia waliokuwa wakisafiri pamoja na Paulo.
4 Alienda pamoja na Sopatro mwana wa Piro wa Beroya, Aristarko+ na Sekundo wa Wathesalonike, Gayo wa Derbe, Timotheo+ na, kutoka wilaya ya Asia, Tikiko+ na Trofimo.+
10 Aristarko,+ mateka mwenzangu anawatumia salamu zake, na pia Marko,+ binamu ya Barnaba (ambaye mlipokea maagizo ya kumkaribisha+ ikiwa atakuja kwenu),