Mathayo 27:20, 21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini wakuu wa makuhani na wazee wakaushawishi umati uombe Baraba afunguliwe,+ lakini Yesu auawe.+ 21 Gavana akawauliza: “Mnataka niwafungulie nani kati ya hawa wawili?” Wakasema: “Baraba.” Luka 23:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 akawaambia: “Mliniletea mtu huyu mkisema anachochea watu kuasi. Tazama! Nilimhoji mbele yenu lakini sikupata msingi wa mashtaka yenu dhidi yake.+ Luka 23:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini umati wote ukasema kwa sauti kubwa: “Muue mtu huyu,* na utufungulie Baraba!”+
20 Lakini wakuu wa makuhani na wazee wakaushawishi umati uombe Baraba afunguliwe,+ lakini Yesu auawe.+ 21 Gavana akawauliza: “Mnataka niwafungulie nani kati ya hawa wawili?” Wakasema: “Baraba.”
14 akawaambia: “Mliniletea mtu huyu mkisema anachochea watu kuasi. Tazama! Nilimhoji mbele yenu lakini sikupata msingi wa mashtaka yenu dhidi yake.+