Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 118:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Jiwe ambalo wajenzi walilikataa

      Limekuwa jiwe kuu la pembeni.*+

  • Isaya 50:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Niliwapa mgongo wangu wale waliokuwa wakinipiga

      Na mashavu yangu wale waliozing’oa ndevu zangu.

      Sikuuficha uso wangu kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na kutoka kwa mate.+

  • Isaya 53:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kwa sababu ya kizuizi* na hukumu alichukuliwa;

      Na ni nani atakayejishughulisha na habari za kizazi chake?*

      Kwa maana aliondolewa katika nchi ya walio hai;+

      Alipata pigo* kwa sababu ya makosa ya watu wangu.+

  • Danieli 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Na baada ya hayo majuma 62, Masihi atauawa,*+ hatabaki na chochote.+

      “Na watu wa kiongozi anayekuja wataliharibu jiji na mahali patakatifu.+ Na mwisho wake utakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho kutakuwa na vita; kilichoamuliwa ni ukiwa.+

  • Luka 22:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Akawaambia: “Nimetamani sana kula Pasaka hii pamoja nanyi kabla sijateseka;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki