Zaburi 32:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mwenye furaha ni mtu ambaye amesamehewa kosa lake, ambaye dhambi yake imefunikwa.*+ 2 Mwenye furaha ni mtu ambaye Yehova hamwoni kuwa mwenye hatia,+Asiye na udanganyifu katika roho yake.
32 Mwenye furaha ni mtu ambaye amesamehewa kosa lake, ambaye dhambi yake imefunikwa.*+ 2 Mwenye furaha ni mtu ambaye Yehova hamwoni kuwa mwenye hatia,+Asiye na udanganyifu katika roho yake.